[Photo/courtesy]Ni takriban miezi sita tangu jamii ya Makonde wapewe uraia wa nchi ya Kenya.

Share news tips with us here at Hivisasa

Maisha sasa hayawapigi wamakonde chenga, bali yamenyooka na kupata mnato wa aina yake.

Kando na wengine kupata nafasi za kazi kwenye serikali , wameweza pia kufungaua akaunti za benki, na sasa watakuwa na nafasi ya kupiga kura.