Wapenzi hawa wawili Bwana Francis Githongo na Bi Hanna wanjiru hiyo jana walifunga ndoa mara tena.

Do you have a lead on a newsworthy story? Share news tips with us here at Hivisasa!

Wapenzi hawa wa zaidi ya miaka 50 waliamua kufanya hivyo kuwabariki wanao watano.

Akizungumza Bwana Githongo alisisitiza umuhimu wa wazazi kuwabariki wanao.Aliwaomba wazazi wenzake kuwabariki wanao ili waishi maisha marefu.