[Photo/courtesy]Muungano wa NASA utaelekeza kampeni zake kaunti ya Kajiado. Kinara Raila Odinga anatarajiwa kuwapokea seneta Peter Mositet na mwanasiasa Taraiya Kores katika chama cha ODM kabla ya kuhutubia mikutano ya kisiasa mjini Rongai.

Do you have a lead on a newsworthy story? Share news tips with us here at Hivisasa!